Ni mwadada mmoja alie fumwa jana jijini dar maeneo ya kinondoni mwenye mume asema aliwa. Fatilia kitambo kabla hata ajaenda kuwa fuma kwenye gest hio na kuamua kumkata viwembe uso mzima baada ya kumchana viwembe akatamka kwamba si anajiona mzuri ee ndomana anafata waume za watu ajui tumetoka wapi na ndoa zetu anavamia tu sasa aendelee tena
karibu kwenye blog inayo husu stori mbali mbali zinazo maisha halisi
Maoni
Chapisha Maoni