Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Magufuli for change na x mas

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swaumu 2000, Vitunguu maji 1000, hiliki 1000, Magome 1000, Michele wa 2000, Soda 3000, Nyama 5000 . Fedha hizi zitatumika kununua mfuko wa cement ili tuanze kujaza kibubu cha ujenzi wa nyumba badala ya kupanga. Karibuni saana maji ya kunywa tumechemsha ndoo nzima.
🎀✨Marry Xmas & Happy new year.✨🎀

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Nyumba ya diamond platnumz hii apa

Kama umeona video ya utanipenda ya diamond bas kila ulicho kiona umo ni mali yake kwanzia nyumba magari na kila kitu click apa uone vyote

Rose ndauka na skendo ya hamonise ukweli uko hapa

Stori hii imekua kwenye headline sana kwamba mwanadada rose ndauka anatoka na hominise lakini homo mwenyewe amepinga swala hilo na kusema anamchukulia rose kama dada yake ki umri na hata kieshima pia soma zaidi

Acha niku funze kuusu mapenzi leo

Najua vijana wengi sikuizi swala la mapenzi linatu tesa lakini ukifatilia vpindi vyangu nazani utapata suluisho kama si kwa asimia 100 basi at 75 utafikia Ingia kwenye hii blog kila ifikapo saa mbili usiku utaona post ya somo la mahaba   karibu katika ulimwengu huu wa mahabati