Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2015

Angalia video lulu akiwa moshi anakunywa mbege na wazaz wake

Ni kawaida ya wachaga kutembelea kwao majira haya ya sikukuu ivo ivo lulu michael alifanya ivo akiwa pamoja na baba yake bonyeza link ucheki video ya matokeo yote

Moja kati ya mastar wa.bongo movie afumwa

Ni mwadada mmoja alie fumwa jana jijini dar maeneo ya kinondoni mwenye mume asema aliwa. Fatilia kitambo kabla hata ajaenda kuwa fuma kwenye gest hio na kuamua kumkata viwembe uso mzima baada ya kumchana viwembe akatamka kwamba si anajiona mzuri ee ndomana anafata waume za watu ajui tumetoka wapi na ndoa zetu anavamia tu sasa aendelee tena

Uchaguzi

nitajiuzulu Siasa.” Ifikapo mwaka 2015, CCM itakuwa imetawala Tanzania kwa miaka 54 mfululizo. Kwa Mtanzania aliyeajiriwa, huu ni umri wa kustaafu na kujipanga kula pensheni. Umri huu pia unalingana na wastani wa maisha ya mtanzania (life expectancy). Kwa kila hali, miaka 54 ni miaka mingi sana. Katika mazingira ya kisiasa, jambo hili sio rahisi kutokea katika nchi yoyote ile inayofuata mfumo wa vyama vingi, hasa katika nyakati hizi za demokrasia ya kiliberali (liberal democracy), soko huria (free market) na utawandawazi (globalization). Utawala wa CCM kwa miaka zaidi ya hamsini (50) umeambatana na uwepo wa ‘amani’ na ‘utulivu’, suala ambalo ni moja ya mafanikiio makubwa ya kisiasa kwa CCM. Lakini ni vizuri tukaambiana ukweli – hatuna utulivu Tanzania bali uvumilivu. Vinginevyo kama alivyotamka Nyerere mwaka 1987, ipo siku bomu litalipuka kwani kufaulu kwa CCM kisiasa kunaenda sambamba na kufeli katika nyanja za kiuchumi na kijam...

Nyimbo mmpya ya yamoto band

Yamoto band wanataka kuachia ngoma mmpya iitwayo mapenzi gan ambayo video yake inafanyika nnchini marekani click link kuiona

Magufuli for change na x mas

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swaumu 2000, Vitunguu maji 1000, hiliki 1000, Magome 1000, Michele wa 2000, Soda 3000, Nyama 5000 . Fedha hizi zitatumika kununua mfuko wa cement ili tuanze kujaza kibubu cha ujenzi wa nyumba badala ya kupanga. Karibuni saana maji ya kunywa tumechemsha ndoo nzima. 🎀✨Marry Xmas & Happy new year.✨🎀

Mambo ya dala dala

WASIOPANDA DALADALA WANAKOSA UHONDO WA KAULI HIZI: 1) Nitakupa. 2) Atakupa mbele. 3) Hujapewa mbele? 4) Utapewa nyuma. 5) Nitakupa nikikaa vizuri. 6) Ngoja isimame nikupe. 7) Subiri asimamishe nikupe. 8) Hivi nilivyokaa nitakupaje? 9) Utapewa  tulia. 10) Nikupe mara ngapi? 11) Msimpe nimeshampa huku mbel

Movie mpya ya Elizabeth Michel iko hapa

Queen wa bongo movie elizabeth michael anajiandaa kuachia movie nyingne baada ya kua kimya kwa kitambo kidogo movie hio imeshilikisha chipkiz wengi zaidi click hapa kuiona

Nyumba ya diamond platnumz hii apa

Kama umeona video ya utanipenda ya diamond bas kila ulicho kiona umo ni mali yake kwanzia nyumba magari na kila kitu click apa uone vyote

Yaya toure kubeba tunzo ya bbc

Kiungo wa kimataifa waIvory Coastna klabu yaManchester Cityya UingerezaYaya Tourealikuwa ni mmoja kati ya wachezaji watano waliokuwa wanawania tuzo ya mchezaji bora waAfrikainayotolewa na shirika la utangazaji la Uingereza BBC,Yaya Toureamefanikiwa kuibuka na ushindii wa baada ya kupata kura nyingi zaidi ya Pierre-EmerickAubameyang, Andre Ayew, Yacine BrahiminaSadio Mane.

Acha niku funze kuusu mapenzi leo

Najua vijana wengi sikuizi swala la mapenzi linatu tesa lakini ukifatilia vpindi vyangu nazani utapata suluisho kama si kwa asimia 100 basi at 75 utafikia Ingia kwenye hii blog kila ifikapo saa mbili usiku utaona post ya somo la mahaba   karibu katika ulimwengu huu wa mahabati

Tazama ngoma mpya ya diamond platnumz je utanipenda

Msanii diamond platnumz amechia ngoma mpya iitwayo je utanipenda alio fanya video yake na zari click hapa kuiona

Rose ndauka na skendo ya hamonise ukweli uko hapa

Stori hii imekua kwenye headline sana kwamba mwanadada rose ndauka anatoka na hominise lakini homo mwenyewe amepinga swala hilo na kusema anamchukulia rose kama dada yake ki umri na hata kieshima pia soma zaidi

Rais magufuli aingia tanesco

Watanzania tulio wengi kiu yetu imebaki kuona ama kusikia rais wetu  dr jonh joseph pombe magufuli atafanya nini baada ya kutembelea shilika la tanesco

Angalia elizabeth michael akicheza wimbo mpya wa diamond

K